Umeshawahi kujiuliza ungekuwa mwanasiasa ungekuwa nani ? Jibu maswali haya nikwambie

tuna wanasiasa wengi mahiri nchini wanaopendwa na wengi na kila mtu ana mwanasiasa wake anaemkubali, je unahisi wewe ungekuwa mwanasiasa ungekuwa kama nani ? jibu maswali yafuatayo kisha nitakupa jibu

Robinson Martin
Created by Robinson Martin (User Generated Content*)User Generated Content is not posted by anyone affiliated with, or on behalf of, Playbuzz.com.
On Sep 9, 2015

chagua jinsia yako

Nani anakuvutia kidogo kati ya hawa wanasiasa

katika maisha yako ni kipi kinanguvu zaidi kati ya hivi vitatu

jielezee wewe ni mtu wa aina gani kwa kutumia wanyama wafuatao

kama ungekuwa kiongozi ni kitu gani ungekipa kipaumbele zaidi kati ya hivi

Upo kisiwani peke yako na ukapewa ombi moja na Mungu kati ya haya, lipi litakuwa ombi lako

Kati ya mataifa haya matatu lipi unalipenda zaidi

Mke/Mme bora ni yule----

Paul Makonda

Paul Makonda

Kulongana na majibu yako haina ubishi kuwa kama ungeingia katika ulingo wa siasa basi ungefata nyayo za Mh Paul Makonda

Zitto kabwe

Zitto kabwe

Kulongana na majibu yako haina ubishi kuwa kama ungeingia katika ulingo wa siasa basi ungefata nyayo za Mh Zitto kabwe

January makamba

January makamba

Kulongana na majibu yako haina ubishi kuwa kama ungeingia katika ulingo wa siasa basi ungefata nyayo za Mh January Makamba

Halima mdee

Halima mdee

Kulongana na majibu yako haina ubishi kuwa kama ungeingia katika ulingo wa siasa basi ungefata nyayo za Mh Halima Mdee

Dk Asha Rose Migiro

Dk Asha Rose Migiro

Kulongana na majibu yako haina ubishi kuwa kama ungeingia katika ulingo wa siasa basi ungefata nyayo za Mh Asharose Migiro

Anna Makinda

Anna Makinda

Kulongana na majibu yako haina ubishi kuwa kama ungeingia katika ulingo wa siasa basi ungefata nyayo za Mh Anna makinda

These are 10 of the World CRAZIEST Ice Cream Flavors
Created by Tal Garner
On Nov 18, 2021